Mahakama yaikubali kesi kumpinga Spika kumhoji CAG
newsare.net
Leo Jumatatu, Mahakama Kuu ya Tanzania imeisajili kesi iliyofunguliwa na kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kupinga Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad kuhojiwa na BungeMahakama yaikubali kesi kumpinga Spika kumhoji CAG
Leo Jumatatu, Mahakama Kuu ya Tanzania imeisajili kesi iliyofunguliwa na kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kupinga Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad kuhojiwa na Bunge Read more