Mchungaji Msigwa awapa mkakati wabunge Iringa
newsare.net
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amewataka wabunge wa Iringa kuungana kupiga kelele ili Serikali ijenge barabara ya lami kutoka Iringa kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.Mchungaji Msigwa awapa mkakati wabunge Iringa
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amewataka wabunge wa Iringa kuungana kupiga kelele ili Serikali ijenge barabara ya lami kutoka Iringa kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha. Read more