Tuhuma za wizi; RC aagiza kigogo wa halmashauri akamatwe
newsare.net
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme ameliagiza jeshi la polisi kumkamata na kumweka ndani saa 48 na kumfikisha mahakamani kigogo mmoja wa idara ya fedha halmashauri ya manispaa ya Songea kwa tuhuma za wizi wa fedha za mapato Sh118 milioni.Tuhuma za wizi; RC aagiza kigogo wa halmashauri akamatwe
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme ameliagiza jeshi la polisi kumkamata na kumweka ndani saa 48 na kumfikisha mahakamani kigogo mmoja wa idara ya fedha halmashauri ya manispaa ya Songea kwa tuhuma za wizi wa fedha za mapato Sh118 milioni. Read more