Mahakama yataifisha mali za Malkia wa Tembo, yampiga faini ya mabilioni
newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kifungo cha miaka 15 kila mmoja washtakiwa watatu akiwemo raia wa China, Yang Feng Glan(66), baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh13.9 bilioniMahakama yataifisha mali za Malkia wa Tembo, yampiga faini ya mabilioni
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kifungo cha miaka 15 kila mmoja washtakiwa watatu akiwemo raia wa China, Yang Feng Glan(66), baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh13.9 bilioni Read more