Kesi Malinzi: Mahakama yakata kupokea maelezo
newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa kupokea maelezo ya onyo ya washtakiwa Flora Rauya na Miriam Zayumba yalihojiwa na ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( Takukuru ),Frank Mkilanya kama kielelezo cha ushahidi katika kesi hiyo.Kesi Malinzi: Mahakama yakata kupokea maelezo
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imekataa kupokea maelezo ya onyo ya washtakiwa Flora Rauya na Miriam Zayumba yalihojiwa na ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa( Takukuru ),Frank Mkilanya kama kielelezo cha ushahidi katika kesi hiyo. Read more