Maalim Seif ajiandaa kuunda safu mpya CUF
newsare.net
Siku moja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutengua uteuzi wa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya CUF, Katibu Mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema atateua wajumbe wengine.Maalim Seif ajiandaa kuunda safu mpya CUF
Siku moja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutengua uteuzi wa wajumbe wa bodi ya wadhamini ya CUF, Katibu Mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema atateua wajumbe wengine. Read more