Dk Kijaji agoma kukagua ukarabati Shule ya Pugu
newsare.net
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji amelazimika kuahirisha kukagua ukarabati wa shule kongwe ya Sekondari ya Pugu jijini Dar es Salaam baada ya uongozi wa mkoa na manispaa ya Ilala kueleza hawajui lolote kuhusu ukarabati huo.Dk Kijaji agoma kukagua ukarabati Shule ya Pugu
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji amelazimika kuahirisha kukagua ukarabati wa shule kongwe ya Sekondari ya Pugu jijini Dar es Salaam baada ya uongozi wa mkoa na manispaa ya Ilala kueleza hawajui lolote kuhusu ukarabati huo. Read more