Mbunge ataka soko la madini Geita, liwe ndilo soko kuu
newsare.net
Wabunge wa mkoa wa Geita wameishukuru Serikali kwa ujenzi wa soko la dhahabu kwa kile walichoeleza kuwa kilikuwa ni kilio cha wachimbaji kwa mrefu, huku wakitaka soko hilo liwe ndilo soko kuu.Mbunge ataka soko la madini Geita, liwe ndilo soko kuu
Wabunge wa mkoa wa Geita wameishukuru Serikali kwa ujenzi wa soko la dhahabu kwa kile walichoeleza kuwa kilikuwa ni kilio cha wachimbaji kwa mrefu, huku wakitaka soko hilo liwe ndilo soko kuu. Read more