Mabadiliko ya sheria ya madini yaongeza ukusanyaji wa mapato
newsare.net
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema kati ya mwaka 2011 hadi 2018, kiwango cha ukusanyaji wa maduhuli katika sekta ya madini mkoani Geita kimeongezeka kutoka Sh24bilioni hadi kufikia Sh114.78bilioni.Mabadiliko ya sheria ya madini yaongeza ukusanyaji wa mapato
Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema kati ya mwaka 2011 hadi 2018, kiwango cha ukusanyaji wa maduhuli katika sekta ya madini mkoani Geita kimeongezeka kutoka Sh24bilioni hadi kufikia Sh114.78bilioni. Read more