Tanzania yatoa msaada wa chakula, dawa Malawi, Msumbiji na Zimbabwe
newsare.net
Kufuatia Kimbunga cha Idai nchini Malawi, Msumbiji na Zimbabwe ambacho hadi sasa inasemekana watu takribani 1,000 wamepoteza maisha, Rais John Magufuli ametoa msaada wa tani 214 za chakula na dawa tani 24.Tanzania yatoa msaada wa chakula, dawa Malawi, Msumbiji na Zimbabwe
Kufuatia Kimbunga cha Idai nchini Malawi, Msumbiji na Zimbabwe ambacho hadi sasa inasemekana watu takribani 1,000 wamepoteza maisha, Rais John Magufuli ametoa msaada wa tani 214 za chakula na dawa tani 24. Read more