Atupa kichanga cha siku moja na kujisalimisha polisi
newsare.net
Mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Kisiwani, Tabata Wilaya ya Ilala, Grace Peter anashikiliwa kwa kosa la kutupa mtoto wa siku moja kwenye karo la maji machafu na kisha kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi.Atupa kichanga cha siku moja na kujisalimisha polisi
Mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Kisiwani, Tabata Wilaya ya Ilala, Grace Peter anashikiliwa kwa kosa la kutupa mtoto wa siku moja kwenye karo la maji machafu na kisha kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi. Read more