Maalim Seif kukaribishwa rasmi Zanzibar, mamia wamiminika kumsikiliza
newsare.net
Viongozi na wanachama wa ACT-Wazalendo wameanza kuwasili katika viwanja vya Vuga mjini Unguja kushiriki mkutano wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.Maalim Seif kukaribishwa rasmi Zanzibar, mamia wamiminika kumsikiliza
Viongozi na wanachama wa ACT-Wazalendo wameanza kuwasili katika viwanja vya Vuga mjini Unguja kushiriki mkutano wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad. Read more