Kweli hujafa hujaumbika! Meneja wa Akudo tumuombee!
newsare.net
Kweli hujafa hujaumbika, leo mzima kesho kitandani. Hii imemkuta Meneja wa bendi ya Akudo Impact ‘Vijana wa Masauti’, Ramadhani Pesambili ‘Rama Akudo’, ambaye kwa sasa yuko kitandani akipigania uhai wake baada ya kufanyiwa operesheni tatu.Kweli hujafa hujaumbika! Meneja wa Akudo tumuombee!
Kweli hujafa hujaumbika, leo mzima kesho kitandani. Hii imemkuta Meneja wa bendi ya Akudo Impact ‘Vijana wa Masauti’, Ramadhani Pesambili ‘Rama Akudo’, ambaye kwa sasa yuko kitandani akipigania uhai wake baada ya kufanyiwa operesheni tatu. Read more