Mawakili TLS wapambana kusaka nafasi ya Fatma Karume
newsare.net
Zikiwa zimebaki siku 12 kabla ya Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kupata mrithi wa Fatma Karume, wagombea wa nafasi hiyo wameendelea kujinadi na ahadi za kuleta mageuzi makubwa ya uongozi 2019/2020.Mawakili TLS wapambana kusaka nafasi ya Fatma Karume
Zikiwa zimebaki siku 12 kabla ya Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kupata mrithi wa Fatma Karume, wagombea wa nafasi hiyo wameendelea kujinadi na ahadi za kuleta mageuzi makubwa ya uongozi 2019/2020. Read more