Takukuru yawapandisha kizimbani viongozi CCM
newsare.net
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala vigogo watatu wa CCM Ilala wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kuomba rushwa ya Sh5 milioni na kupokea Sh3 milioni.Takukuru yawapandisha kizimbani viongozi CCM
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala vigogo watatu wa CCM Ilala wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kuomba rushwa ya Sh5 milioni na kupokea Sh3 milioni. Read more