Wauza sigara, pombe bila stempu za kielektroniki wapewa siku 14
newsare.net
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa siku 14 kuanzia leo Jumanne Aprili 16, 2019 kuendelea kuwepo sokoni kwa sigara, bia, mvinyo, pombe kali na aina zote za vileo vyenye stempu za karatasi kwani mwisho wa matumizi yake itakuwa Aprili 30, 2019.Wauza sigara, pombe bila stempu za kielektroniki wapewa siku 14
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa siku 14 kuanzia leo Jumanne Aprili 16, 2019 kuendelea kuwepo sokoni kwa sigara, bia, mvinyo, pombe kali na aina zote za vileo vyenye stempu za karatasi kwani mwisho wa matumizi yake itakuwa Aprili 30, 2019. Read more