Wataalamu mipango miji wampinga Lukuvi urasimishaji viwanja
newsare.net
Chama cha Wataalamu wa Mipango Miji (TAP) kimepinga punguzo la bei ya kurasimisha viwanja iliyotangazwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na kimesema kinatafakari hatua zaidi ya kuchukua.Wataalamu mipango miji wampinga Lukuvi urasimishaji viwanja
Chama cha Wataalamu wa Mipango Miji (TAP) kimepinga punguzo la bei ya kurasimisha viwanja iliyotangazwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na kimesema kinatafakari hatua zaidi ya kuchukua. Read more