Wadaiwa kutapeli kwa jina la Mama Magufuli
newsare.net
Watu wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam wakikabiliwa na mashtaka manne, likiwamo ya kutapeli kiasi cha Sh 4.4 milioni kwa kutumia jina la Janeth Magufuli ambaye ni mke wa Rais John Magufuli.Wadaiwa kutapeli kwa jina la Mama Magufuli
Watu wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam wakikabiliwa na mashtaka manne, likiwamo ya kutapeli kiasi cha Sh 4.4 milioni kwa kutumia jina la Janeth Magufuli ambaye ni mke wa Rais John Magufuli. Read more