Profesa Ndalichako azindua machapisho ya Kiswahili, atoa wito kwa Watanzania
newsare.net
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amezindua machapisho saba ya Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (Tataki) miongoni mwayo ni kitabu cha Kiswahili kwenye vyombo vya habari.Profesa Ndalichako azindua machapisho ya Kiswahili, atoa wito kwa Watanzania
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amezindua machapisho saba ya Taasisi ya Taaluma za Kiswahili (Tataki) miongoni mwayo ni kitabu cha Kiswahili kwenye vyombo vya habari. Read more