Lissu asema Katiba inakiukwa wakurugenzi kusimamia uchaguzi
newsare.net
Kufuatia mjadala unaoendelea kwenye mitandao ya jamii kuhusu Mahakama Kuu kufuta sheria iliyowapa wakurugenzi wa halmashauri mamlaka ya kuwa wasimamizi wa uchaguzi, mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu ameibuka na kuzungumzia jambo hiloLissu asema Katiba inakiukwa wakurugenzi kusimamia uchaguzi
Kufuatia mjadala unaoendelea kwenye mitandao ya jamii kuhusu Mahakama Kuu kufuta sheria iliyowapa wakurugenzi wa halmashauri mamlaka ya kuwa wasimamizi wa uchaguzi, mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu ameibuka na kuzungumzia jambo hilo Read more