Ndugai: Masele aripoti bungeni Jumatatu saa 5, akikaidi atakamatwa
newsare.net
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele anatakiwa kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge kesho Jumatatu kabla ya saa tano asubuhi.Ndugai: Masele aripoti bungeni Jumatatu saa 5, akikaidi atakamatwa
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele anatakiwa kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge kesho Jumatatu kabla ya saa tano asubuhi. Read more