Simba yaitekenya Ndanda mabao 2-0 ikibakiza pointi moja kutwaa ubingwa
newsare.net
Timu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ndanda katika mchezo wa Ligi Kuu uliopigwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.Simba yaitekenya Ndanda mabao 2-0 ikibakiza pointi moja kutwaa ubingwa
Timu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ndanda katika mchezo wa Ligi Kuu uliopigwa leo Jumapili kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Read more