Jaji afa kwa kugongwa na koboko
newsare.net
Jaji wa Mahakama ya Kazi jijini Cape Town Afrika Kusini, Anton Steenkamp (57) amefariki dunia baada ya kugongwa na nyoka aina ya koboko akiwa likizo nchini Zambia.Jaji afa kwa kugongwa na koboko
Jaji wa Mahakama ya Kazi jijini Cape Town Afrika Kusini, Anton Steenkamp (57) amefariki dunia baada ya kugongwa na nyoka aina ya koboko akiwa likizo nchini Zambia. Read more