Wabunge wabaini sababu kukwama usindikaji wa maziwa Tanzania
newsare.net
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imesema kutoimarika kwa usindikaji wa maziwa nchini kunatokana na kukosekana kwa mazingira rafiki ya uwekezaji wenye tija ikiwa ni pamoja na wingi wa tozo na kodi zipatazo 28.Wabunge wabaini sababu kukwama usindikaji wa maziwa Tanzania
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imesema kutoimarika kwa usindikaji wa maziwa nchini kunatokana na kukosekana kwa mazingira rafiki ya uwekezaji wenye tija ikiwa ni pamoja na wingi wa tozo na kodi zipatazo 28. Read more