Meya Kinondoni awatoa hofu wakazi wa Mpigi
newsare.net
Meya wa Kinondoni Benjamin Sitta amewatoa hofu wakazi wa Mpigi wanaoishi mpakani mwa wilaya hiyo na Bagamoyo ambao nyumba zao zipo hatarini kubomoka kutokana na uchimbaji holela wa mchanga unaofanyika kwenye kingo za daraja la Mpigi .Meya Kinondoni awatoa hofu wakazi wa Mpigi
Meya wa Kinondoni Benjamin Sitta amewatoa hofu wakazi wa Mpigi wanaoishi mpakani mwa wilaya hiyo na Bagamoyo ambao nyumba zao zipo hatarini kubomoka kutokana na uchimbaji holela wa mchanga unaofanyika kwenye kingo za daraja la Mpigi . Read more