UVCCM kuwapambania walimu wanaojitolea kupata ajira, posho
newsare.net
UVCCM imesema kuwa walimu wanaojitolea kufundisha kwenye shule za serikali watambulike wapo wangapi nchi nzima, kisha wawasaidie kupaza sauti zinapotokea nafasi za ajira wapewe kipaumbele, walimu hao wamekuwa wakilalamika kufanya kazi kwenye mazingira magumu.UVCCM kuwapambania walimu wanaojitolea kupata ajira, posho
UVCCM imesema kuwa walimu wanaojitolea kufundisha kwenye shule za serikali watambulike wapo wangapi nchi nzima, kisha wawasaidie kupaza sauti zinapotokea nafasi za ajira wapewe kipaumbele, walimu hao wamekuwa wakilalamika kufanya kazi kwenye mazingira magumu. Read more