Uchambuzi wa HakiRasilimali kuhusu bajeti ya Wizara ya madini na Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2018/19 na 2019/2020
newsare.net
Sekta ya uziduaji (Mafuta, Madini na gesi asilia) ni eneo muhimu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi kwa ujumla, takwimu zinaonesha kuwa sekta ya uziduaji nchini inakadiriwa kuchangia takribani asilimia 5 (2018) ya pato la Taifa ambapo, DirUchambuzi wa HakiRasilimali kuhusu bajeti ya Wizara ya madini na Wizara ya Nishati kwa mwaka wa fedha 2018/19 na 2019/2020
Sekta ya uziduaji (Mafuta, Madini na gesi asilia) ni eneo muhimu katika kuchochea ukuaji wa uchumi na maendeleo ya nchi kwa ujumla, takwimu zinaonesha kuwa sekta ya uziduaji nchini inakadiriwa kuchangia takribani asilimia 5 (2018) ya pato la Taifa ambapo, Dira ya Taifa ya maendeleo inakadiria kwamba hadi kufikia Mwaka 2025 mchango wa sekta ya madini unatarajiwa kuongezeka hadi kufikia asilimia 10 ya pato zima la Taifa. Read more