VIDEO: Ndugai, mbunge Masele watuhumiana bungeni
newsare.net
Hali hiyo imetokana na taarifa ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kupendekeza mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele kusimamishwa kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge baada ya kumkuta na hatia ya utovu wa nidhamu na kugonganisha mihimilVIDEO: Ndugai, mbunge Masele watuhumiana bungeni
Hali hiyo imetokana na taarifa ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kupendekeza mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele kusimamishwa kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge baada ya kumkuta na hatia ya utovu wa nidhamu na kugonganisha mihimili ya Serikali. Hata hivyo, Spika Ndugai alilitaka Bunge kumpuuza Masele na wabunge kuridhia msamaha wa Ndugai kwa mbunge huyo. Read more