Mikakati ya kufikia tani 600,000 ya korosho yabainishwa
newsare.net
Mtwara. Wakati wakulima wa zao la korosho wakiendelea na maandalizi ya shamba kwa ajili ya msimu ujao, Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho, Francis Alfred amesema mwaka 2017/18 uzalishaji ulionekana kupanda hadi tani 313,000 lakini katika msimu unaoisha 201/1Mikakati ya kufikia tani 600,000 ya korosho yabainishwa
Mtwara. Wakati wakulima wa zao la korosho wakiendelea na maandalizi ya shamba kwa ajili ya msimu ujao, Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho, Francis Alfred amesema mwaka 2017/18 uzalishaji ulionekana kupanda hadi tani 313,000 lakini katika msimu unaoisha 201/19 uzalishaji umeshuka hadi tani 244,000. Read more