Marais wastaafu wafarakana vikali hadharani Botswana
newsare.net
Rais mstaafu wa Botswana, Mzee Festus Mogae, mwanzoni mwa mwaka huu ajitenga waziwazi kutoka kwa mtu ambaye alimteua kutoka katika Jeshi la nchi hiyo, ili aweze kumrithi katika kiti cha urais wa nchi hiyo yenye utulivu mkubwa wa kiuchumi na demokrasia ya kujiMarais wastaafu wafarakana vikali hadharani Botswana
Rais mstaafu wa Botswana, Mzee Festus Mogae, mwanzoni mwa mwaka huu ajitenga waziwazi kutoka kwa mtu ambaye alimteua kutoka katika Jeshi la nchi hiyo, ili aweze kumrithi katika kiti cha urais wa nchi hiyo yenye utulivu mkubwa wa kiuchumi na demokrasia ya kujivunia katika Afrika. Read more