Mafanikio ya DUWASA katika kuimarisha huduma ya maji Makao Makuu ya nchi
newsare.net
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Mjini Dodoma (DUWASA) ilianzishwa mwezi Julai, 1998 kwa mujibu wa kifungu na 3(1) cha sheria No.8 ya mwaka 1997 ambayo ilibadilishwa kwa sheria Na. 05 ya mwaka 2019 ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira. Jukumu la msingi laMafanikio ya DUWASA katika kuimarisha huduma ya maji Makao Makuu ya nchi
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Mjini Dodoma (DUWASA) ilianzishwa mwezi Julai, 1998 kwa mujibu wa kifungu na 3(1) cha sheria No.8 ya mwaka 1997 ambayo ilibadilishwa kwa sheria Na. 05 ya mwaka 2019 ya Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira. Jukumu la msingi la DUWASA ni kutoa huduma endelevu ya usambazaji majisafi na usafi wa mazingira kwa wakazi wa mjini Dodoma. Read more