UCHOKOZI WA EDO: Aliyejikata sehemu za siri hastahili mahabusu
newsare.net
Leo nina habari ya kusikitisha kidogo. Huko kwetu Kusini kuna kijana amejiondoa sehemu yake ya siri akiamini kwamba ilikuwa inamshawishi kufanya uzinzi. Anataka kumrudia Mungu wake. Dunia haitaacha kutuletea watu wanaofanya maajabu. Huyu ni mmojawao.UCHOKOZI WA EDO: Aliyejikata sehemu za siri hastahili mahabusu
Leo nina habari ya kusikitisha kidogo. Huko kwetu Kusini kuna kijana amejiondoa sehemu yake ya siri akiamini kwamba ilikuwa inamshawishi kufanya uzinzi. Anataka kumrudia Mungu wake. Dunia haitaacha kutuletea watu wanaofanya maajabu. Huyu ni mmojawao. Read more