Mwantika aitwa Stars kuziba pengo la Morris
newsare.net
Beki wa Azam FC, David Mwantika amerudishwa nchini Misri tayari kuungana na kikosi cha Taifa Stars kuzipa pengo la Aggrey Morris aliyeumia katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri.Mwantika aitwa Stars kuziba pengo la Morris
Beki wa Azam FC, David Mwantika amerudishwa nchini Misri tayari kuungana na kikosi cha Taifa Stars kuzipa pengo la Aggrey Morris aliyeumia katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri. Read more