Mwakyembe aagiza bondia aliyedundwa Ulaya afungiwe
newsare.net
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dk Harrison Mwakyembe ameagiza bondia Selemani Bangaiza aliyepigwa kwa Technical Knock Out (TKO) Jumamosi iliyopita nchini Australia afungiwe.Mwakyembe aagiza bondia aliyedundwa Ulaya afungiwe
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dk Harrison Mwakyembe ameagiza bondia Selemani Bangaiza aliyepigwa kwa Technical Knock Out (TKO) Jumamosi iliyopita nchini Australia afungiwe. Read more