Mhandisi wa Halmashauri atumia nguo zake kujinyonga hadi kufa
newsare.net
Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya jijini Mbeya, Aswile Mssika amekutwa amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kujitunda kwenye mti akitumia nguo zake katika Kijiji cha kiwanja wilayani hapa, chanzo cha kuchukua uamuzi huo bado ni kizungumkuti.Mhandisi wa Halmashauri atumia nguo zake kujinyonga hadi kufa
Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya jijini Mbeya, Aswile Mssika amekutwa amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kujitunda kwenye mti akitumia nguo zake katika Kijiji cha kiwanja wilayani hapa, chanzo cha kuchukua uamuzi huo bado ni kizungumkuti. Read more