Kamati yataka watumishi EAC wachukuliwe hatua za kinidhamu
newsare.net
Kamati ya Bunge la Hesabu la Afrika Mashariki(Eala) imelitaka Bunge hilo kulielekeza baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuwachukulia hatua watumishi wa jumuiya hiyo waliobainika kukiuka kanuni na miongozo ya manunuzi na ajira.Kamati yataka watumishi EAC wachukuliwe hatua za kinidhamu
Kamati ya Bunge la Hesabu la Afrika Mashariki(Eala) imelitaka Bunge hilo kulielekeza baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuwachukulia hatua watumishi wa jumuiya hiyo waliobainika kukiuka kanuni na miongozo ya manunuzi na ajira. Read more