Heche atumia ahadi za uchaguzi za CCM kuchangia bajeti 2019/20
newsare.net
Mbunge Tarime Vijijini (Chadema) John Heche amemtaka Waziri wa Fedha na Mpango Dk Philip Mpango kujibu ni wapi walipofikia utekelezaji wa ahadi sita walizotoa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015.Heche atumia ahadi za uchaguzi za CCM kuchangia bajeti 2019/20
Mbunge Tarime Vijijini (Chadema) John Heche amemtaka Waziri wa Fedha na Mpango Dk Philip Mpango kujibu ni wapi walipofikia utekelezaji wa ahadi sita walizotoa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015. Read more