RC Mwanri amsimamisha meneja wa TRA, aagiza uchunguzi uanze
newsare.net
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri amemsimamisha kazi Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilayani Igunga John Mgeni ili kupitisha uchunguzi wa tuhuma za kudai rushwa zinazomkabili.RC Mwanri amsimamisha meneja wa TRA, aagiza uchunguzi uanze
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri amemsimamisha kazi Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilayani Igunga John Mgeni ili kupitisha uchunguzi wa tuhuma za kudai rushwa zinazomkabili. Read more