Nchi wanachama zimechangia asilimia 10 miradi ya nishati SADC
newsare.net
Nchi 16 mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimekuwa zikichangia chini ya asilimia 10 tu ya fungu la bajeti ya utekelezaji wa miradi yake huku zaidi ya asilimia 90 ikiwa ni utegemezi wa wahisani walioingia makubaliano ya kusaidia maNchi wanachama zimechangia asilimia 10 miradi ya nishati SADC
Nchi 16 mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) zimekuwa zikichangia chini ya asilimia 10 tu ya fungu la bajeti ya utekelezaji wa miradi yake huku zaidi ya asilimia 90 ikiwa ni utegemezi wa wahisani walioingia makubaliano ya kusaidia malengo ya jumuiya hiyo. Read more