Nchi za Sadc zatajwa kutofikia lengo uzalishaji bidhaa
newsare.net
Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) imesema wakati malengo yakiwa kuzalisha asilimia 20 ya pato la ndani kwa mwaka, nchi wanachama zimeshindwa kufikia kiwango hicho.Nchi za Sadc zatajwa kutofikia lengo uzalishaji bidhaa
Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) imesema wakati malengo yakiwa kuzalisha asilimia 20 ya pato la ndani kwa mwaka, nchi wanachama zimeshindwa kufikia kiwango hicho. Read more