Udukuzi mawasiliano hofu mpya wanasiasa, wakosoaji barani Afrika
newsare.net
Taarifa kuwa kampuni kubwa ya kimataifa ya mawasiliano ya Huawei ya China ilisaidia baadhi ya Serikali za nchi za Afrika kusikiliza mawasiliano ya wapinzani wao kisiasa zinashtua. Na kila mmoja anajiona hayuko salama.Udukuzi mawasiliano hofu mpya wanasiasa, wakosoaji barani Afrika
Taarifa kuwa kampuni kubwa ya kimataifa ya mawasiliano ya Huawei ya China ilisaidia baadhi ya Serikali za nchi za Afrika kusikiliza mawasiliano ya wapinzani wao kisiasa zinashtua. Na kila mmoja anajiona hayuko salama. Read more