VIDEO: Wakuu wa nchi Sadc wasaini itifaki nne
newsare.net
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) ambaye ni Rais wa Tanzania, John Magufuli amewaongoza wakuu wa nchi 16 za jumuiya hiyo kusaini marekebisho katika itifaki nne.VIDEO: Wakuu wa nchi Sadc wasaini itifaki nne
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) ambaye ni Rais wa Tanzania, John Magufuli amewaongoza wakuu wa nchi 16 za jumuiya hiyo kusaini marekebisho katika itifaki nne. Read more