MKUTANO WA SADC: Serikali ya Tanzania yavipongeza vyombo vya habari
newsare.net
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Dk Harrison Mwakyembe amevipongeza vyombo vya habari nchini humo kwa kazi kubwa ya kiuzalendo na weledi wa hali ya juu waliouonyesha katika kutangaza Mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo ya KusinMKUTANO WA SADC: Serikali ya Tanzania yavipongeza vyombo vya habari
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Dk Harrison Mwakyembe amevipongeza vyombo vya habari nchini humo kwa kazi kubwa ya kiuzalendo na weledi wa hali ya juu waliouonyesha katika kutangaza Mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (Sadc). Read more