Serikali ya Tanzania yamuwekea kigingi Tundu Lissu mahakamani
newsare.net
Aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu nchini Tanzania ameanza kukumbana na vigingi katika harakati zake za kutetea ubunge wake aliovuliwa, baada ya Serikali ya nchi hiyo kumwekea pingamizi la awali katika hatua ya awali kabisa ya haraSerikali ya Tanzania yamuwekea kigingi Tundu Lissu mahakamani
Aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu nchini Tanzania ameanza kukumbana na vigingi katika harakati zake za kutetea ubunge wake aliovuliwa, baada ya Serikali ya nchi hiyo kumwekea pingamizi la awali katika hatua ya awali kabisa ya harakati zake. Read more