IGP Sirro akabidhi bendera Polisi
newsare.net
MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro amewakabidhi Bendera wanamichezo wa jeshi la polisi wanaoelekea Nchini Kenya kwenye Mashindano ya wakuu wa Majeshi la Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki ( EAPCCO).IGP Sirro akabidhi bendera Polisi
MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro amewakabidhi Bendera wanamichezo wa jeshi la polisi wanaoelekea Nchini Kenya kwenye Mashindano ya wakuu wa Majeshi la Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki ( EAPCCO). Read more