Dar yaongoza uandikishaji, Jiji la Arusha lanyooshewa kidole
newsare.net
Mkoa wa Dar es Salaam umekuwa kinara katika uandikishaji wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 baada ya kuandikisha asilimia 89 hadi leo Jumatano wakati mikoa ya Kigoma na Kilimanjaro ikivuta mkia kwa kuwa na asilimia ndoDar yaongoza uandikishaji, Jiji la Arusha lanyooshewa kidole
Mkoa wa Dar es Salaam umekuwa kinara katika uandikishaji wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 baada ya kuandikisha asilimia 89 hadi leo Jumatano wakati mikoa ya Kigoma na Kilimanjaro ikivuta mkia kwa kuwa na asilimia ndogo. Read more