Wanasheria wa kina Mbowe, Serikali wavutana kortini
newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam nchini Tanzania kesho Ijumaa Oktoba 18, 2019 itatoa uamuzi katika kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwamo mwenyekiti wake, Freeman Mbowe kuhusu utaratibu upi utatumika katika kujitetea kwa wasWanasheria wa kina Mbowe, Serikali wavutana kortini
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam nchini Tanzania kesho Ijumaa Oktoba 18, 2019 itatoa uamuzi katika kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema akiwamo mwenyekiti wake, Freeman Mbowe kuhusu utaratibu upi utatumika katika kujitetea kwa washtakiwa hao. Read more