Wakazi Makongo Juu walia ubovu wa barabara
newsare.net
Wakazi na watumiaji barabara inayopita eneo la Makongo Juu wameiomba Serikali ya Tanzania kuingilia kati ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita tano iliyogeuka kero kutokana na kupitika kwa shida.Wakazi Makongo Juu walia ubovu wa barabara
Wakazi na watumiaji barabara inayopita eneo la Makongo Juu wameiomba Serikali ya Tanzania kuingilia kati ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu wa kilomita tano iliyogeuka kero kutokana na kupitika kwa shida. Read more