Mratibu wa chanjo ya surua , rubela, polio Geita alia na wazazi kutotilia maanani
newsare.net
Ikiwa imebaki siku moja kumalizika kwa kampeni ya chanjo ya maradhi ya surua , rubela na polio kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi 59, wazazi na walezi mkoani Geita wameshauriwa kutumia muda uliobaki kuhakikisha watoto wenye sifa wanapata chanjoMratibu wa chanjo ya surua , rubela, polio Geita alia na wazazi kutotilia maanani
Ikiwa imebaki siku moja kumalizika kwa kampeni ya chanjo ya maradhi ya surua , rubela na polio kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi 59, wazazi na walezi mkoani Geita wameshauriwa kutumia muda uliobaki kuhakikisha watoto wenye sifa wanapata chanjo Read more