Askari kuongezwa Dar uchaguzi Serikali za mitaa
newsare.net
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema litaongeza askari 1000 kwa ajili ya kuimarisha ulinzi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Jumapili Novemba 24, 2019.Askari kuongezwa Dar uchaguzi Serikali za mitaa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema litaongeza askari 1000 kwa ajili ya kuimarisha ulinzi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa utakaofanyika Jumapili Novemba 24, 2019. Read more